Wakati mahitaji ya wataalamu wa teknolojia, mabadiliko ya tabianchi na uchumi wa buluu yakizidi kuongezeka nchini na duniani, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimeanzisha programu mpya 29 kwa mwaka wa masomo 2026/2027, hatua inayolenga kuandaa wahitimu wenye ujuzi unaokidhi mahitaji ya soko la ajira.

Back to Home
UDSM yaja na kozi mpya 29, akili unde yapewa kipaumbele
Mwananchi about 1 hour 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
Comments (0)
Want to join the discussion?
Sign in to post comments and engage with the community.
Be the first to comment!
