Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imewakutanisha wadau mbalimbali mkoani Rukwa, wakiwamo watoa huduma za mawasiliano ya simu, sekta ya usafiri, vyombo vya ulinzi na usalama pamoja na makundi mbalimbali ya kijamii, kujadili namna ya kukabiliana na kutokomeza uhalifu wa mtandaoni unaoendelea kushika kasi mkoani humo.

Back to Home
Uharifu mtandaoni pasua kichwa, wadau Rukwa wajifungia kujadili
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
