Wakulima wa mboga na matunda Mkoa wa Kusini Unguja wameiomba Serikali kuchukua hatua za haraka kutatua changamoto zinazokwamisha shughuli zao za kilimo, ikiwemo ukosefu wa umeme wa uhakika kwa ajili ya umwagiliaji na masoko ya uhakika ya mazao.

Back to Home
Umeme, masoko, barabara na pembejeo feki kilio cha wakulima Kusini
Mwananchi 1 day 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
