Mafunzo ya walimu jijini Dar es Salaam yalinikutanisha na simulizi la Mercy, mtoto wa miaka sita anayesoma darasa la pili katika shule moja ya msingi ya bweni. Kwa mara ya kwanza, nilikutana na Mercy miezi sita iliyopita. Familia yake inaishi mkoani Dodoma, kwa hivyo ilikuwa muhimu kumpeleka bweni kwa usalama wake.

Back to Home
Usalama wa kihisia msingi muhimu utekelezaji wa mtalaa
Mwananchi about 4 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
