Kuna uwezekano wa gesi asilia kuwepo katika Bonde la Eyasi Wembere lililopo katika wilaya ya Kishapu, utafiti mkubwa unafanyika hivyo wananchi mnatakiwa kuchangamkia fursa kwa kubuni miradi mbalimbali itakayotumia gesi katika eneo hilo.

Back to Home
Utafiti wa gesi asilia Kishapu wafungua fursa kwa wananchi
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
