Tanzania inatarajiwa kushuhudia ongezeko kubwa la wagonjwa wa kisukari katika kipindi cha miaka 25 ijayo, huku wataalamu wa afya wakionya kuwa wengi wanaishi na ugonjwa huo bila kujua hali zao kutokana na kuchelewa kufanyiwa uchunguzi na mabadiliko ya mtindo wa maisha.

Back to Home
Utafiti waonya ongezeko la wagonjwa wa kisukari ifikapo 2050
Mwananchi about 4 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
