Zaidi ya watu 1,000 wamefariki dunia kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa Ebola unaoendelea nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), huku mamlaka za afya barani Afrika zikionya hali kuwa mbaya zaidi iwapo hatua za haraka hazitachukuliwa.

Back to Home
Vifo vitokanavyo na Ebola vyavuka 1,000, mlipuko ukienea kwa kasi
Mwananchi 1 day 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
Comments (0)
Want to join the discussion?
Sign in to post comments and engage with the community.
Be the first to comment!
