Serikali imevitaka vyama vya wafanyakazi kuacha kujenga nguvu kupitia migogoro badala yake kutumia uongozi bora, mazungumzo na uwajibikaji kulinda haki zao na kuongeza tija katika uchumi wa Taifa.

Back to Home
‘Vyama vya wafanyakazi vishindane kwa hoja, si migogoro’
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
