Serikali iliahidi ujenzi wa barabara ya njia ya nne kutoka Nsalaga hadi Ifisi yenye kilomita 32 ikigharimu Sh138 bilioni ambapo ilipaswa kukamilika Aprili 2025 na kwa sasa umesimama ujenzi wake na kuleta changamoto kwa wananchi na watumiaji wa miundombinu hiyo.

Back to Home
Wabunge wa Mbeya wampokea Waziri wa Fedha kwa kilio cha vumbi
Mwananchi about 5 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
