Wabunifu zaidi ya 300 kutoka maeneo mbalimbali nchini wanatarajiwa kushiriki Maonyesho ya Wiki ya Kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu yatakayofanyika kwa wiki mbili kuanzia kesho, Agosti 18, 2026, katika viwanja vya Shule ya Sekondari Usagara mkoani Tanga.

Back to Home
Wabunifu zaidi ya 300 kushiriki maonyesho Tanga
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
