Serikali imewataka wadau wa sekta za kilimo na mifugo kutumia taarifa za utabiri wa hali ya hewa kwa wakati ili kuchukua hatua za mapema na kupunguza madhara yanayosababishwa na majanga yanayohusiana na hali ya hewa na tabianchi.

Back to Home
Wadau wajengewa uwezo kukabiliana na majanga ya hali ya hewa
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
