Wadau wa habari na Sanaa ya ucharaji wamemlilia Kinyanguli Tunzo, maarufu King Kinya, wakimtaja kama mchoraji mwenye kipaji cha aina yake na uwezo mkubwa wa kuwasilisha mawazo kupitia michoro, zikiwemo katuni za kisiasa.

Back to Home
Wadau wamlilia msanii wa katuni King Kinya
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
