Siku kadhaa baada ya Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) kutoa tahadhari ya uwezekano wa mvua kubwa za El Nino, wafanyabiashara wadogo jijini Mbeya wameiomba Serikali kuboresha miundombinu ya masoko, ikiwamo mifereji ya kupitisha maji na maeneo rasmi ya kuhifadhi bidhaa.

Back to Home
Waiomba Serikali iboreshe masoko kabla ya El Nino
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
