Wakati zao la tangawizi likiwa miongoni mwa mazao ya biashara yanayotegemewa na wananchi katika Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro, wakulima wa zao hilo wamelalamikia kushuka kwa bei, wakisema hali hiyo inawarudisha nyuma kiuchumi na kuwakatisha tamaa kutokana na uwekezaji mkubwa wanaoufanya katika kilimo hicho.

Back to Home
Wakulima wa tangawizi Same walalamikia bei kushuka
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
