Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imewataka wakulima nchini kutumia fursa za mikopo rasmi inayotolewa na taasisi za kifedha ili kukuza uzalishaji na kuinua kipato chao, badala ya kukimbilia mikopo isiyo rasmi maarufu kama kausha damu.

Back to Home
Wakulima watakiwa kutumia mikopo rasmi, waonywa dhidi ya 'kausha damu'
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
