Polisi Mkoa wa Mara inawashikilia walimu sita wa Shule ya Sekondari Makongoro, wilayani Bunda, kufuatia kifo cha mwanafunzi wa kidato cha sita, Peter Marire (23), anayedaiwa kufariki dunia baada ya kuadhibiwa kwa kuchapwa kwa madai ya kufanya vibaya katika mtihani wa majaribio.

Back to Home
Walimu sita mbaroni wakituhumiwa kifo cha mwanafunzi
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
