Wananchi na wafanyabiashara mkoani Njombe wameziomba mamlaka za Serikali kuongeza udhibiti wa bidhaa zinazoingia sokoni ili kuondoa hatari ya bidhaa bandia na zilizokwisha muda wa matumizi kusababisha madhara kwa afya za watumiaji.

Back to Home
Wananchi Njombe wataka udhibiti wa bidhaa bandia
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
