Wananchi wa Kitongoji cha Mbalizi, Kata ya Utengule Usongwe, Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya wamejitolea kuchimba msingi wa Shule ya Sekondari Shigamba Pipeline, wakilenga kuwaondoa wanafunzi katika adha ya kutembea umbali mrefu kufuata elimu.

Back to Home
Wananchi wajitoa kuanza ujenzi wa shule kuwasaidia watoto wao
Mwananchi about 4 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
