Wananchi mkoani Geita wametakiwa kutunza miradi ya maendeleo inayotekelezwa kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf), ili iweze kuendelea kutoa huduma na kunufaisha jamii kwa muda mrefu.

Back to Home
Wananchi watakiwa kutunza miradi ya Tasaf
Mwananchi 1 day 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
