Jeshi la Polisi Mkoa wa Tabora linawashikilia watu wanane kwa tuhuma za kumjeruhi kwa kitu butu raia wa China, Wang Guo Liang (50), mkandarasi wa Kampuni ya China Civil Engineering Construction Corporation (CCECC), inayotekeleza mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) katika Kijiji cha Mpigwa, Wilaya ya Urambo.

Back to Home
Wanane mbaroni wakidaiwa kumjeruhi mkandarasi wa SGR
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
