Wizara ya Afya imeonya watu wanaotumia mabasi ya masafa marefu na mitandao ya kijamii kuuza dawa za meno kwa madai ya kutibu yaliyooza, kutoboka au kuyafanya meupe, ikisema biashara hiyo inaweza kupotosha wananchi na kuchelewesha matibabu sahihi.

Back to Home
Wanaouza dawa za meno kwenye mabasi, mitandaoni hii inawahusu
Mwananchi about 1 hour 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
