Baadhi ya wanawake wa Kitongoji cha Mandaka, Wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro, wamegeuza rasilimali ya udongo wa mfinyanzi kuwa chanzo cha kipato baada ya kuanzisha shughuli ya kutengeneza vyungu vya kupikia na vya kuhifadhia maji, wakizalisha zaidi ya vyungu 300 kwa siku.

Back to Home
Wanawake Mandaka wanavyogeuza udongo kuwa fedha
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
