Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Musoma imebatilisha hukumu ya Mahakama ya Wilaya ya Serengeti iliyowaachia huru watu wanne waliokuwa wakikabiliwa na mashtaka ya kumiliki nyara za Serikali na badala yake imewahukumu kila mmoja kutumikia kifungo cha miaka 20 jela.

Back to Home
Wanne jela miaka 20 kwa kukutwa na nyara za Serikali
Mwananchi about 1 hour 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
