Jeshi la Polisi Mkoa wa Lindi linawashikilia watu wanne kwa tuhuma za mauaji ya watoto watatu wa familia moja waliofariki kwa kunyongwa kisha miili yao kutelekezwa katika pori la Kitandi lililopo Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi.

Back to Home
Wanne mbaroni kwa tuhuma za mauaji ya watoto watatu Lindi
Mwananchi 1 day 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
