Watafiti kutoka taasisi mbalimbali, ikiwemo zinazotetea masuala ya watoto wametakiwa kufanya tafiti zitakazosaidia kubaini namna bora ya kulea watoto katika mazingira ya sasa yanayobadilika kwa kasi kutokana na maendeleo ya teknolojia, mabadiliko ya kiuchumi na kijamii.

Back to Home
Watafiti wahimizwa kuchunguza malezi ya watoto zama za teknolojia
Mwananchi 37 minutes 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
