Watanzania wanaoishi Afrika Kusini wanatarajiwa kuwasili nchini kesho Jumatano, Agosti 26, 2026, katika hatua ya kwanza ya utekelezaji wa kampeni ya ‘Turudi Nyumbani kwa Mama’ iliyoanzishwa na Ubalozi wa Tanzania nchini humo kwa lengo la kuwawezesha Watanzania wanaotaka kurejea nyumbani kufanya hivyo.

Back to Home
Watanzania kutoka Afrika Kusini kuwasili kesho
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
