Watanzania wametakiwa kuondokana na dhana kwamba mafunzo yanayotolewa na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) ni ya kikatili, badala yake wahamasishwe vijana wengi kujiunga na mafunzo hayo kadiri fursa zinavyopatikana, kwa kuwa yana manufaa makubwa kwa ustawi wa nchi na wananchi.

Back to Home
Watanzania watakiwa kuondoa dhana mafunzo ya JKT ni ukatili
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
