Zaidi ya watu 100,000 wamekimbia makazi yao nchini Yemen baada ya kuongezeka kwa mapigano katika maeneo ya magharibi mwa nchi hiyo, hali inayozidisha mahitaji ya kibinadamu miongoni mwa raia.

Back to Home
Watu zaidi ya 100,000 wakimbia mapigano Yemen
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
