Watu wawili, akiwamo daktari Enhard Mlelwa (57), mkazi wa Kyela mkoani Mbeya na Izya Mlelwa (11), mwanafunzi wa darasa la sita katika Shule ya Msingi Makoeo, wamefariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea wakati wakielekea msibani, huku watu wengine sita wakijeruhiwa.

Back to Home
Wawili wafariki dunia, sita wajeruhiwa ajali ya gari Njombe
Mwananchi 24 minutes 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
