Chama cha Wazee Wanaume Tanzania (CCWWT) kimewataka wazee kujiunga na chama hicho kipya ili kuunganisha nguvu na kuwa na sauti ya pamoja katika kudai haki na kutatua changamoto zinazowakabili.

Back to Home
Wazee wanaume waanzisha umoja wao, wataka kutambuliwa
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
