Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Uhusiano, Deus Sangu amekitaka Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa Tanzania (TALGWU), kuendesha uchaguzi wake kwa kuzingatia Katiba, demokrasia, uwazi, haki, usawa na amani.

Back to Home
Waziri Sangu ataka mshikamano, TALGWU kikifanya uchaguzi mkuu
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
