Ziwa Duluti linaweza kuwa miongoni mwa vyanzo vya kusaidia kukabiliana na changamoto ya upatikanaji wa maji safi jijini Arusha, lakini kabla ya kuanza kutumika kwa matumizi ya binadamu, Bodi ya Maji Bonde la Pangani (PBWB) imesema itafanya utafiti kubaini uwezo wake na kuhakikisha matumizi hayo hayaathiri uhai wa ziwa.

Back to Home
Ziwa Duluti laingia kwenye mpango wa utafiti wa matumizi ya maji
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
