Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA), imepunguza adhabu ya faini kwa wafanyabiashara wanaoshindwa kutoa risiti za kielektroniki, baada ya kubaini kuwa kiwango cha awali cha Sh2 milioni kwa kila kosa kilikuwa kikubwa kiasi cha baadhi ya wahusika kushindwa kulipa.

Back to Home
ZRA yashusha kiwango cha faini wasiotoa risiti
Mwananchi about 1 hour 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
