Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) mkoani Shinyanga, limefanya operesheni maalumu katika godi wa Mwime uliopo kata ya Zongomela Manispaa ya Kahama na kuwabaini baadhi ya wachimbaji wadogo kuchepusha umeme na kuwaunganishia wengine umeme kinyemela.

Back to Home
11 wadakwa wakiiba umeme mgodini, Kahama
Mwananchi 1 day 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
