Wakati Chama Cha ACT Wazalendo kikishangazwa kuwapo takwimu tofauti na kubwa kuhusu gharama za ujenzi wa uwanja utakaotumika kwa Fainali za Kombe la Mataifa ya Africa (AFCON) 2027, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imetoa ufafanuzi huku ikionya kutaja takwimu ambazo sio sahihi kwa ajili ya kupotosha umma.

Back to Home
ACT, SMZ wavutana kuhusu gharama halisi ujenzi Uwanja wa AFCON
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
