Chama cha ACT-Wazalendo kimependekeza hatua tano za kupunguza msongamano wa malori katika Jiji la Dar es Salaam, ikiwemo kuwajibisha mamlaka zinazohusika na utoaji wa vibali na usimamizi wa Bandari Kavu (ICDs), kikidai zimeshindwa kusimamia mipango iliyopo.

Back to Home
ACT-Wazalendo yapendekeza hatua kupunguza msongamano wa malori Dar
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
