Mkazi wa mtaa wa Kisimani, Kata ya Endiamtu, mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro mkoani Manyara, Said Changoma (48), amefariki dunia baada ya kudaiwa kushambuliwa kwa kupigwa jiwe kichwani na mtu mwenye changamoto ya afya ya akili, Shabani Idd.

Back to Home
Adaiwa kuuawa na mwenye changamoto ya akili akielekea msikitini
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
