Kila kizazi kinapokutana na teknolojia mpya, swali lilelile huibuka: je, teknolojia hiyo itatuongezea fursa au itatupokonya ajira? Leo, mjadala huo umehamia kwenye Akili unde (AI). Tanzania inapoingia katika zama za uchumi wa kidijitali, AI inaweza kuonekana kama tishio kwa ajira za baadhi ya wananchi, lakini pia inaweza kuwa chanzo kikubwa cha ajira mpya na kuongeza tija katika uchumi.

Back to Home
AI ni tishio au fursa ya ajira kwa vijana nchini Tanzania?
Mwananchi about 1 hour 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
