Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (Tasac) limesema katika ajali ya moto kwenye meli ya Mv Pasific iliyotolewa Mkoa wa Kigoma, mabaharia wanne wamefariki dunia huku wengine watatu hawajulikani walipo.

Back to Home
Ajali ya meli Kigoma yaua mabaharia wanne, watatu hawajulikani walipo
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
