Mkutano wa nne wa Bunge la 13 utaendelea kesho Jumatatu, Agosti 31, 2026, baada ya mapumziko ya mwishoni mwa juma, huku Watanzania wakisubiri kwa hamu muswada wa marekebisho ya sheria ya dhamana za mali zinazohamishika.

Back to Home
Muswada vyeti kutumika dhamana ya mikopo kutua bungeni
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
