Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Dodoma imemwachia huru Hamisi Mwanang’ombe aliyekuwa amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la ubakaji, baada ya kubaini dosari ya msingi ya kisheria katika mwenendo wa kesi yake.

Back to Home
Aliyefungwa miaka 30 kwa ubakaji aachiwa huru
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
