Mahakama ya Rufaa imemhukumu kifungo cha maisha jela Steven Lihanjala, baada ya kubaini kuwa mahakama za chini zilikosea kumhukumu miaka 30 kwa kumbaka mtoto wa miaka mitano, wakati sheria inaelekeza adhabu ya kifungo cha maisha kwa kosa hilo.

Back to Home
Aliyepinga kifungo cha miaka 30 kwa kumbaka binti wa kambo afungwa maisha
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
