John Daud (42), mkazi wa Manispaa ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kuchoma moto vyumba vinne vya jengo la zamani la Mahakama ya Mwanzo ya Wilaya ya Moshi.

Back to Home
Anayedaiwa kuchoma moto Mahakama akamatwa akiwa kwenye sherehe za Maulid
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
