Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC), Albert Chalamila, amekumbana na shinikizo kutoka kwa wadau wa usafirishaji waliomtaka kusitisha operesheni ya kukamata malori yanayoegeshwa katika hifadhi za barabara na kuwaachia madereva wanaoshikiliwa.

Back to Home
Madereva, wamiliki wa malori wambana RC Chalamila, yeye asema…
Mwananchi about 4 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
