Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam imeendelea na operesheni ya kuwaondoa wafanyabiashara wadogo, maarufu machinga wanaofanya biashara katika Mtaa wa Msimbazi, Kariakoo, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji endelevu wa kuhakikisha wanafanya shughuli zao katika maeneo sahihi.

Back to Home
Askari wa jiji Dar, machinga ‘wanavyoviziana’ Kariakoo
Mwananchi about 4 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
