Polisi Mkoa wa Arusha linawashikilia kwa uchunguzi askari watatu waliokuwa zamu katika eneo ambalo watu watatu wanadaiwa kukamatwa ndani ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro, baada ya mmoja wa watu hao kufariki dunia huku mwingine akiendelea kupatiwa matibabu.

Back to Home
Askari watatu washikiliwa mmoja akifariki Ngorongoro, manusura asimulia ilivyokuwa
Mwananchi about 4 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
