Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini Magharibi (Bukoba), Dk Abedinego Keshomshahara amekemea tabia ya baadhi ya waumini na wachungaji wanaojipendekeza kwa wanaowania nafasi za uongozi katika ngazi za mtaa, usharika, jimbo na dayosisi.

Back to Home
Askofu Keshomshara akemea ‘uchawa’ kanisani
Mwananchi about 2 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
