Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Alex Malasusa, leo Julai 29, 2026 anatarajiwa kuongoza ibada ya kuaga mwili wa Mchungaji Silvanus Msuya (44) katika Usharika wa Boko, Dayosisi ya Pwani na Mashariki, jijini Dar es Salaam, ambapo mamia ya waumini wa kanisa hilo watapata wasaa wa kushiriki ibada hiyo na kuaga mwili.

Back to Home
Askofu Malasusa kuongoza ibada mazishi ya Mchungaji Silvanus
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
