Sakata la kuibwa mtoto wa siku moja katika Kituo cha Afya Dareda Kati, wilayani Babati, Mkoa wa Manyara, bado halijapatiwa ufumbuzi huku mama mzazi akiendelea kusubiri kwa matumaini ya kupatikana kwa mtoto wake.

Back to Home
Bado kiza kimetanda mtoto wa siku moja aliyeibwa Dareda
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
