Wazazi na walezi sita katika Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro, mkoani Manyara, wanatarajiwa kufikishwa mahakamani kwa tuhuma za kushindwa kuhakikisha watoto wao wanahudhuria masomo shuleni.

Back to Home
Wazazi sita ‘wabanwa’ kwa watoto kutokwenda shule
Mwananchi about 3 hours 1 mins read
This article was sourced from an external publication.
Share this article
